Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mika 5:9 - Swahili Revised Union Version

9 Mkono wako na uinuliwe juu ya adui zako, na adui zako wote wakauliwe mbali.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Waisraeli watawashinda adui zao na kuwaangamiza kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Waisraeli watawashinda adui zao na kuwaangamiza kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Mwenyezi-Mungu asema, “Wakati huo nitawaondoa farasi wenu, na kuyaharibu magari yenu ya farasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Mkono wako utainuliwa juu kwa ushindi juu ya watesi wako, nao adui zako wote wataangamizwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Mkono wako utainuliwa juu kwa ushindi juu ya watesi wako, nao adui zako wote wataangamizwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Mkono wako na uinuliwe juu ya adui zako, na adui zako wote wakauawe mbali.

Tazama sura Nakili




Mika 5:9
15 Marejeleo ya Msalaba  

Inuka, Ee Mungu BWANA, uuinue mkono wako, Ee Mungu Usiwasahau wanyonge.


Ndipo alipowainulia mkono wake na kuwaapia, Ya kuwa atawaangamiza jangwani,


Mkono wako utawapata adui zako wote, Mkono wako wa kulia utawapata wanaokuchukia.


nami nitakuelekezea wewe mkono wangu, na kukutakasa takataka zako kabisa, na kukuondolea bati lako lote;


Nao watashuka, watalirukia bega la Wafilisti upande wa magharibi; nao pamoja watawateka wana wa mashariki; watanyosha mkono juu ya Edomu na Moabu; na wana wa Amoni watawatii.


BWANA, mkono wako umeinuliwa, lakini hawaoni; lakini watauona wivu wako kwa ajili ya watu wako, nao watatahayari; naam, moto utawala adui zako.


Basi, sasa nitasimama; asema BWANA; sasa nitajiinua, sasa nitajitukuza.


Basi malaika wa BWANA alitoka, akaua watu elfu mia moja na themanini na tano katika kituo cha Waashuri, na watu walipoamka asubuhi na mapema, kumbe, hao walikuwa maiti wote pia.


nami nitakipindua kiti cha enzi cha falme, nami nitaziharibu nguvu za falme za mataifa; nami nitayapindua magari, na hao wapandao ndani yake; farasi na hao wawapandao wataanguka chini; kila mtu kwa upanga wa ndugu yake.


Na gari la vita nitaliondoa liwe mbali na Efraimu, na farasi awe mbali na Yerusalemu, na upinde wa vita utaondolewa mbali; naye atawahubiria mataifa yote habari za amani; na mamlaka yake yatakuwa toka bahari hata bahari, na toka Mto hata miisho ya dunia.


Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa muwachinje mbele yangu.


Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke adui zake wote chini ya miguu yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo