Mika 2:6 - Swahili Revised Union Version6 Msitabiri, ndivyo watabirivyo; wasiyatabiri mambo haya; lawama hazikomi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 “Usituhubirie sisi. Mambo kama hayo si ya kuhubiriwa. Sisi hatutakumbwa na maafa! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 “Usituhubirie sisi. Mambo kama hayo si ya kuhubiriwa. Sisi hatutakumbwa na maafa! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 “Usituhubirie sisi. Mambo kama hayo si ya kuhubiriwa. Sisi hatutakumbwa na maafa! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Manabii wao husema, “Usitabiri. Usitabiri kuhusu vitu hivi; aibu haitatupata.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Manabii wao husema, “Usitabiri. Usitabiri kuhusu vitu hivi; aibu haitatupata.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Msitabiri, ndivyo watabirivyo; wasiyatabiri mambo haya; lawama hazikomi. Tazama sura |