Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mika 1:15 - Swahili Revised Union Version

15 Bado, wakazi wa Maresha, nitawaleteeni tena yeye atakayewamiliki; Utukufu wa Israeli utafika Adulamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Enyi wakazi wa Maresha, Mungu atawaleteeni tena adui atakayewateka. Viongozi waheshimiwa wa Israeli watakimbilia pangoni huko Adulamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Enyi wakazi wa Maresha, Mungu atawaleteeni tena adui atakayewateka. Viongozi waheshimiwa wa Israeli watakimbilia pangoni huko Adulamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Enyi wakazi wa Maresha, Mungu atawaleteeni tena adui atakayewateka. Viongozi waheshimiwa wa Israeli watakimbilia pangoni huko Adulamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Nitawaleteeni atakayewashinda ninyi mnaoishi Maresha. Yeye aliye utukufu wa Israeli atakuja Adulamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Nitawaleteeni atakayewashinda ninyi mnaoishi Maresha. Yeye aliye utukufu wa Israeli atakuja Adulamu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Bado, wakazi wa Maresha, nitawaleteeni tena yeye atakayewamiliki; Utukufu wa Israeli utafika Adulamu.

Tazama sura Nakili




Mika 1:15
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa wakati ule, Yuda akashuka kutoka kwa ndugu zake, akamfikia mtu Mwadulami, jina lake Hira.


Tena, watatu miongoni mwa wale thelathini waliokuwa wakuu wakashuka, wakamwendea Daudi wakati wa mavuno mpaka pango la Adulamu, na kikosi cha Wafilisti walikuwa wamefanya kambi katika bonde la Warefai.


Beth-suri, Soko, Adulamu,


Nanyi mtafanya nini siku ya kujiliwa, na wakati wa uangamivu, utakaokuja kutoka mbali sana? Je! Mtamkimbilia nani mpate msaada? Na utukufu wenu mtauacha wapi?


Kuhusu wana wa Amoni. BWANA asema hivi, Je, Israeli hana wana? Je! Hana mrithi? Basi, mbona Malkamu anamiliki Gadi, na watu wake wanakaa katika miji yake?


mfalme wa Libna, mmoja; na mfalme wa Adulamu, mmoja;


Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka;


Keila, Akizibu na Maresha; miji tisa, pamoja na vijiji vyake.


Basi Daudi akaondoka huko, akakimbilia pango la Adulamu; na ndugu zake na watu wote wa ukoo wa baba yake waliposikia habari hiyo, wakamwendea huko.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo