Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 7:5 - Swahili Revised Union Version

5 Heri kusikia laumu ya wenye hekima, Kuliko mtu kusikia wimbo wa wapumbavu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Afadhali kusikia maonyo ya wenye hekima kuliko kusikiliza nyimbo za wapumbavu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Afadhali kusikia maonyo ya wenye hekima kuliko kusikiliza nyimbo za wapumbavu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Afadhali kusikia maonyo ya wenye hekima kuliko kusikiliza nyimbo za wapumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Afadhali kusikia karipio la mtu mwenye hekima, kuliko kusikiliza wimbo wa wapumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Afadhali kusikia karipio la mtu mwenye hekima, kuliko kusikiliza wimbo wa wapumbavu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Heri kusikia laumu ya wenye hekima, Kuliko mtu kusikia wimbo wa wapumbavu;

Tazama sura Nakili




Mhubiri 7:5
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye haki na anipige, itakuwa fadhili; Anikemee, itakuwa kama mafuta kichwani; Kichwa changu kisikatae, Maana siachi kusali kati ya mabaya yao.


Waketio langoni hunisema, Na nyimbo za walevi hunidhihaki.


Kila anayelidharau neno hujiletea uharibifu; Bali yeye anayeiogopa amri atapewa thawabu.


Umaskini na fedheha zitampata yeye akataaye kurudiwa; Bali yeye aangaliaye maonyo ataheshimiwa.


Lawama hupenya moyoni mwa mwenye ufahamu, Kuliko mapigo mia moyoni mwa mpumbavu.


Kipuli cha dhahabu, na pambo la dhahabu safi; Ndivyo alivyo mwonyaji mwenye hekima kwa sikio lisikialo.


Majeraha utiwazo na rafiki ni ya kweli; Bali busu la adui ni udanganyifu.


Maana maagizo hayo ni taa, na sheria hiyo ni nuru, Na maonyo ya kumwadilisha mtu ni njia ya uzima.


Usimkaripie mwenye dharau, asije akakuchukia; Mkaripie mwenye hekima, naye atakupenda.


Maneno yao wenye hekima huwa mfano wa michokoo; na kama misumari iliyogongomewa sana; ndivyo yalivyo maneno yao walio wakuu wa makusanyiko, ambayo yatoka kwa mchungaji mmoja.


Moyo wake mwenye hekima umo nyumbani mwa matanga, bali moyo wake mpumbavu umo nyumbani mwa furaha.


Maneno ya wenye hekima yanenwayo taratibu husikiwa, Zaidi ya mlio wake atawalaye katikati ya wapumbavu.


Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo