Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 7:4 - Swahili Revised Union Version

4 Moyo wake mwenye hekima umo nyumbani mwa matanga, bali moyo wake mpumbavu umo nyumbani mwa furaha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Moyo wa mwenye hekima huthamini matanga, lakini moyo wa mpumbavu hupenda raha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Moyo wa mwenye hekima huthamini matanga, lakini moyo wa mpumbavu hupenda raha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Moyo wa mwenye hekima huthamini matanga, lakini moyo wa mpumbavu hupenda raha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Moyo wa wenye hekima uko katika nyumba ya msiba, lakini moyo wa wapumbavu uko katika nyumba ya anasa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Moyo wa wenye hekima uko katika nyumba ya msiba, lakini moyo wa wapumbavu uko katika nyumba ya anasa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Moyo wake mwenye hekima umo nyumbani mwa matanga, bali moyo wake mpumbavu umo nyumbani mwa furaha.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 7:4
21 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Absalomu akawaamuru watumishi wake, akasema, Angalieni basi, moyo wake Amnoni utakapofurahiwa kwa mvinyo; nami nitakapowaambia, Mpigeni Amnoni, kisha mwueni, msiogope; si mimi niliyewaamuru? Iweni hodari, na wenye ujasiri.


Wakatoka wakati wa adhuhuri. Lakini Ben-hadadi alikuwa akinywa hata kulewa mabandani, yeye na wale wafalme thelathini na wawili waliomsaidia.


Nikauambia moyo wangu, Haya, nitakujaribu kwa njia ya furaha basi ujifurahishe kwa anasa. Na tazama, hayo nayo yakawa ubatili.


Huzuni ni afadhali kuliko kicheko, Maana simanzi ya uso ni faida ya moyo.


Heri kusikia laumu ya wenye hekima, Kuliko mtu kusikia wimbo wa wapumbavu;


Moyo wangu unapigapiga, utisho umenitaabisha, gizagiza la jioni nilipendalo limegeuka likanitetemesha.


Wakiingiwa na ukali, nitawafanyia karamu yao, nami nitawalevya, wapate kufurahi, na kulala usingizi wa milele, wasiamke tena, asema BWANA.


Nami nitawalevya wakuu wake, na watu wake wenye hekima, watawala wake, na makamanda wake, na mashujaa wake; nao watalala usingizi wa milele, wasiamke, asema Mfalme, BWANA wa majeshi, ambaye jina lake ni BWANA.


Usiku huo huo Belshaza, mfalme wa Wakaldayo, akauawa.


Sikukuu ya mfalme wetu, wakuu waliugua kwa ukali wa divai; alinyosha mkono wake pamoja na wenye mzaha.


Kwa maana kama miiba wametatana, kama walevi wamelewa, watateketezwa kama mabua makavu.


Kisha Abigaili alimjia Nabali; na tazama, alikuwa amefanya karamu nyumbani mwake, kama karamu ya kifalme; na moyo wake huyo Nabali ukafurahiwa ndani yake, kwa maana amelewa kabisa. Kwa sababu hiyo hakumwambia neno, dogo wala kubwa, hadi kulipopambazuka.


Na hapo alipokuwa amewaongoza chini, tazama, hao walikuwa wametawanyika juu ya nchi yote, wakila na kunywa, na kufanya karamu, kwa sababu ya hizo nyara kubwa walizochukua katika nchi ya Wafilisti, na katika nchi ya Yuda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo