Mhubiri 6:11 - Swahili Revised Union Version11 Basi, kwa kuwa kuna mambo mengi yaongezayo ubatili, mwanadamu hufaidiwa nini? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Maneno mengi hayana faida, hayamwinui binadamu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Maneno mengi hayana faida, hayamwinui binadamu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Maneno mengi hayana faida, hayamwinui binadamu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Maneno yanavyokuwa mengi, ndivyo yanavyokosa maana, Je, hilo linamfaidia vipi yeyote? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Maneno yanavyokuwa mengi, ndivyo yanavyokosa maana, Je, hilo linamfaidia vipi yeyote? Tazama sura |