Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 6:10 - Swahili Revised Union Version

10 Na awe kitu chochote, aliitwa jina lake zamani za kale, naye amejulikana kuwa ndiye mwanadamu; wala hawezi kabisa kushindana na yeye aliye na uwezo kuliko yeye mwenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Kila kitu kinachotukia kilikwisha pangwa hapo awali; hali ya binadamu inajulikana, na tunajua kwamba mnyonge hawezi kubishana na mtu mwenye nguvu zaidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Kila kitu kinachotukia kilikwisha pangwa hapo awali; hali ya binadamu inajulikana, na tunajua kwamba mnyonge hawezi kubishana na mtu mwenye nguvu zaidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Kila kitu kinachotukia kilikwisha pangwa hapo awali; hali ya binadamu inajulikana, na tunajua kwamba mnyonge hawezi kubishana na mtu mwenye nguvu zaidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Lolote lililopo limekwisha kupewa jina, naye mwanadamu alivyo ameshajulikana; hakuna mtu awezaye kushindana na mwenye nguvu kuliko yeye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Lolote lililopo limekwisha kupewa jina, naye mwanadamu alivyo ameshajulikana; hakuna mtu awezaye kushindana na mwenye nguvu kuliko yeye.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 6:10
18 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi?


Kwa nini unapingana naye, ukisema, Hatajibu hata neno langu moja?


Je! Mwenye hoja atashindana na Mwenyezi? Mwenye kujadiliana na Mungu, na ajibu yeye.


Maana yeye si mtu, kama mimi, hata nimjibu, Hata tuwe mahakamani pamoja.


Mwanadamu siku zake zi kama majani; Kama ua la kondeni ndivyo anavyostawi.


Kweli, watu wote hupita kama kivuli; Wao hujisumbua bure tu; Wanajirundikia mali wala hawajui ni nani atakayeirithi.


Hapana hekima, wala ufahamu, Wala shauri, juu ya BWANA.


Yale yaliyoko yamekuwako; na hayo yatakayokuwako yamekwisha kuwako; naye Mungu huyatafuta tena mambo yale yaliyopita.


Basi, kwa kuwa kuna mambo mengi yaongezayo ubatili, mwanadamu hufaidiwa nini?


Angalia, atapanda kama simba toka kiburi cha Yordani juu ya malisho yasiyonyauka; lakini nitamkimbiza ghafla ayaache; na yeye aliye mteule nitamweka juu yake; maana ni nani aliye kama mimi? Tena ni nani atakayeniandikia muda? Tena ni mchungaji yupi atakayesimama mbele zangu?


Au twamtia Bwana wivu? Je! Tuna nguvu zaidi ya yeye?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo