Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 8:24 - Swahili Revised Union Version

24 Wakati havijakuwapo vilindi nilizaliwa, Wakati hazijakuwapo chemchemi zilizojaa maji.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Nilizaliwa kabla ya vilindi vya bahari, kabla ya chemchemi zibubujikazo maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Nilizaliwa kabla ya vilindi vya bahari, kabla ya chemchemi zibubujikazo maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Nilizaliwa kabla ya vilindi vya bahari, kabla ya chemchemi zibubujikazo maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Wakati hazijakuwepo bahari, nilikwishazaliwa, wakati hazijakuwepo chemchemi zilizojaa maji;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Wakati hazijakuwepo bahari, nilikwishazaliwa, wakati hazijakuwepo chemchemi zilizojaa maji;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Wakati havijakuwapo vilindi nilizaliwa, Wakati hazijakuwapo chemchemi zilizojaa maji.

Tazama sura Nakili




Methali 8:24
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nayo nchi ilikuwa tupu, tena bila umbo, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.


Je! Umeziingia chemchemi za bahari, Au umetembea mahali pa siri pa vilindi?


Nitaihubiri amri; BWANA aliniambia, Wewe ni mwanangu, Mimi leo nimekuzaa.


Vilindi vimewafunikiza, Walizama vilindini kama jiwe.


Kwa maarifa yake vilindi viligawanyika; Na mawingu yadondoza umande.


Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.


Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.


Kwa kuwa Baba ampenda Mwana, naye humwonesha yote ayatendayo mwenyewe; hata na kazi kubwa zaidi kuliko hizo atamwonesha, ili ninyi mpate kustaajabu.


Kwa maana ni kwa malaika yeyote yupi Mungu, Ndiwe mwanangu, Mimi leo nimekuzaa? Na tena Mimi nitakuwa kwake baba, Na yeye atakuwa kwangu mwana?


Katika hili pendo la Mungu lilionekana kwetu, kwamba Mungu amemtuma Mwanawe pekee ulimwenguni, ili tupate uzima kwa yeye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo