Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 5:13 - Swahili Revised Union Version

13 Wala sikuisikia sauti ya waalimu wangu, Wala sikuwategea sikio langu walionifundisha!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Sikuisikiliza sauti ya waalimu wangu, wala kuwategea sikio wakufunzi wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Sikuisikiliza sauti ya waalimu wangu, wala kuwategea sikio wakufunzi wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Sikuisikiliza sauti ya waalimu wangu, wala kuwategea sikio wakufunzi wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Sikuwatii walimu wangu, wala kuwasikiliza wakufunzi wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Sikuwatii walimu wangu wala kuwasikiliza wakufunzi wangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Wala sikuisikia sauti ya waalimu wangu, Wala sikuwategea sikio langu walionifundisha!

Tazama sura Nakili




Methali 5:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

akawajibu kama vile walivyomshauri vijana, akasema, Baba yangu alilifanya zito kongwa lenu, bali mimi nitaongeza kongwa lenu; baba yangu aliwapiga kwa mijeledi, bali mimi nitawapigeni kwa nge.


Mwanangu, yasikilize mafundisho ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako,


Nilikuwa karibu na kuingia katika maovu yote, Katikati ya mkutano na kusanyiko.


Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako;


Basi yeye anayekataa, hakatai mwanadamu bali Mungu, anayewapa ninyi Roho wake Mtakatifu.


Wakumbukeni wale waliokuwa wakiwaongoza, waliowaambia neno la Mungu; tena, kwa kuuchunguza sana mwisho wa mwenendo wao, iigeni imani yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo