Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 31:23 - Swahili Revised Union Version

23 Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Mume wake ni mtu mashuhuri barazani, anakoshiriki vikao vya wazee wa nchi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Mume wake ni mtu mashuhuri barazani, anakoshiriki vikao vya wazee wa nchi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Mume wake ni mtu mashuhuri barazani, anakoshiriki vikao vya wazee wa nchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Mume wake anaheshimiwa kwenye lango la mji, aketipo miongoni mwa wazee wa nchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Mume wake anaheshimiwa kwenye lango la mji, aketipo miongoni mwa wazee wa nchi.

Tazama sura Nakili




Methali 31:23
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati nilipotoka kwenda mjini, kupitia langoni, Nilipokitengeza kiti changu katika njia kuu,


Mwanamke mwema ni taji la mumewe; Bali aaibishaye ni kama kuoza mifupani mwake.


Kwa mpumbavu hekima haipatikani; Hafumbui kinywa chake langoni.


Weka waamuzi na maofisa katika malango yako yote akupayo BWANA, Mungu wako, kwa hesabu ya kabila zako; nao wawaamue watu kwa maamuzi ya haki.


ndipo babaye na mamaye na wamkamate, na kumpeleka kwa wazee wa mji wake, katika lango la mahali pake;


Basi Boazi akakwea kwenda mpaka langoni, akaketi pale; na tazama, yule mtu wa jamaa aliyekuwa karibu, ambaye Boazi amemnena, akapita. Naye akamwita, Haya! Wewe, karibu, uketi hapa. Naye akaja akaketi.


Na watu wote waliokuwapo langoni, na wale wazee, wakasema, Naam, sisi ni mashahidi. BWANA na amfanye mwanamke huyu aingiaye nyumbani mwako kuwa kama Raheli na kama Lea, wale wawili walioijenga nyumba ya Israeli. Nawe ufanikiwe katika Efrata, na kuwa mashuhuri katika Bethlehemu.


Kisha akatwaa watu kumi miongoni mwa wazee wa mji, akawaambia, Ninyi nanyi, ketini hapa. Wakaketi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo