Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 30:2 - Swahili Revised Union Version

2 Hakika nimekuwa kama mnyama, wala si mtu; Wala sina ufahamu wa mwanadamu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Mimi ni mpumbavu mno, wala si mtu; nayo akili ya binadamu sina.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Mimi ni mpumbavu mno, wala si mtu; nayo akili ya binadamu sina.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Mimi ni mpumbavu mno, wala si mtu; nayo akili ya binadamu sina.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Mimi ni mjinga kuliko wanadamu wote; sina ufahamu wa kibinadamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 “Mimi ni mjinga kuliko wanadamu wote; sina ufahamu wa kibinadamu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Hakika nimekuwa kama mnyama, wala si mtu; Wala sina ufahamu wa mwanadamu;

Tazama sura Nakili




Methali 30:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, ataliona, hata wenye hekima hufa; Mpumbavu na mjinga hupotea pamoja, Na kuwaachia wengine mali zao.


Nilikuwa kama mjinga, sijui neno; Nilikuwa kama mnyama tu mbele zako.


Mtu mjinga hayatambui hayo, Wala mpumbavu hayafahamu.


Kila apendaye mafundisho hupenda maarifa; Bali yeye achukiaye kulaumiwa ni kama mnyama.


Maneno ya Aguri mwana wa Yake; mausia mtu huyu aliyomwambia Ithieli, naam, Ithieli na Ukali.


Ukasema, Jinsi nilivyochukia maonyo, Na moyo wangu ukadharau kukemewa;


Ndipo niliposema, Ole wangu! Kwa maana nimepotea; kwa sababu mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu; na macho yangu yamemwona Mfalme, BWANA wa majeshi.


Kila mtu amekuwa kama mnyama, hana maarifa; Kila mfua dhahabu amefedheheshwa na sanamu yake ya kuchonga; Maana sanamu yake ya kuyeyuka ni uongo, Wala hamna pumzi ndani yake.


Kwa maana, ndugu zangu, sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa Mataifa uwasili.


Mtu asijidanganye mwenyewe; kama mtu akijiona kuwa mwenye hekima miongoni mwenu katika dunia hii, na awe mpumbavu, ili apate kuwa mwenye hekima.


Mtu akidhani ya kuwa anajua neno, hajui neno lolote bado, kama impasavyo kujua.


Lakini mmoja wenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo