Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 28:12 - Swahili Revised Union Version

12 Wenye haki washindapo, uko utukufu mwingi; Bali waovu waondokapo, watu hujificha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Watu wema wakipata madaraka maisha hufana, lakini waovu wakitawala watu hujificha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Watu wema wakipata madaraka maisha hufana, lakini waovu wakitawala watu hujificha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Watu wema wakipata madaraka maisha hufana, lakini waovu wakitawala watu hujificha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Mwenye haki ashindapo, kuna furaha kubwa, bali waovu watawalapo, watu hujificha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Mwenye haki ashindapo, kuna furaha kubwa, bali waovu watawalapo, watu hujificha.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Wenye haki washindapo, uko utukufu mwingi; Bali waovu waondokapo, watu hujificha.

Tazama sura Nakili




Methali 28:12
21 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Bwana wangu hakuambiwa nilivyofanya hapo Yezebeli alipowaua manabii wa BWANA? Jinsi nilivyowaficha manabii wa BWANA, watu mia moja, hamsini hamsini katika pango, nikawalisha chakula na kuwapa maji?


Naye alipoona hayo, aliondoka, akaenda aihifadhi roho yake, akafika Beer-sheba, mji wa Yuda, akamwacha mtumishi wake huko.


Akawaruhusu watu waende hemani kwao siku ya ishirini na tatu, ya mwezi wa saba, wakifurahi na kuchangamka mioyoni kwa wema wote BWANA aliomfanyia Daudi, na Sulemani, na Israeli watu wake.


Wenye haki wasitawipo, mji hufurahi; Waovu wanapoangamia, watu hushangilia.


Wasio haki wainukapo, wanadamu hujificha; Bali waangamiapo, wenye haki huongezeka.


Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi; Bali mwovu atawalapo, watu huugua.


Ole wako, nchi, iwapo mfalme wako ni kijana, Na wakuu wako hula asubuhi!


Ndipo hao wakuu wakamwambia Baruku, Nenda ukajifiche, wewe na Yeremia, wala mtu asipajue mlipo.


Mfalme akamwamuru Yerameeli, mwana wa mfalme, na Seraya, mwana wa Azrieli, na Shelemia, mwana wa Abdeeli, wamkamate Baruku, mwandishi, na Yeremia, nabii; lakini BWANA aliwaficha.


Pigeni mbio huku na huku katika njia za Yerusalemu, mkaone sasa, na kujua, na kutafuta katika viwanja vyake, kwamba mwaweza kumpata mtu mmoja, kwamba yuko mtu mmoja awaye yote atendaye kwa haki, atafutaye uaminifu; nami nitausamehe mji huo.


Tena, baba yangu, tazama, tafadhali, tazama upindo wa vazi lako mkononi mwangu; maana ikiwa nimeukata upindo wa vazi lako, nisikuue, ujue, na kuona ya kuwa hakuna uovu wala kosa mkononi mwangu, wala sikukukosa neno; ingawa wewe unaniwinda roho yangu ili kuikamata.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo