Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 28:11 - Swahili Revised Union Version

11 Mtu tajiri ana hekima machoni pake mwenyewe; Bali maskini mwenye ufahamu humchunguza sana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Tajiri hujiona mwenyewe kuwa mwenye hekima, lakini maskini mwenye busara atamfichua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Tajiri hujiona mwenyewe kuwa mwenye hekima, lakini maskini mwenye busara atamfichua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Tajiri hujiona mwenyewe kuwa mwenye hekima, lakini maskini mwenye busara atamfichua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Mtu tajiri anaweza kuwa na hekima machoni pake mwenyewe, bali mtu maskini mwenye busara humtambua alivyodanganyika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Mtu tajiri anaweza kuwa na hekima machoni pake mwenyewe, bali mtu maskini mwenye ufahamu atamfichua.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Mtu tajiri ana hekima machoni pake mwenyewe; Bali maskini mwenye ufahamu humchunguza sana.

Tazama sura Nakili




Methali 28:11
18 Marejeleo ya Msalaba  

Sio wakuu walio wenye hekima, Wala sio wazee watambuao haki.


Mali ya mtu tajiri ni mji wake wa nguvu; Ni kama ukuta mrefu katika mawazo yake.


Ajiteteaye kwanza huonekana kuwa ana haki; Lakini jirani yake huja na kumchunguza.


Afadhali maskini aendaye katika uadilifu wake, Kuliko mpotovu wa midomo aliye mpumbavu.


Usijitaabishe ili kupata utajiri; Acha kuzitegemea akili zako mwenyewe.


Je! Wamwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.


Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni pake, Kuliko watu saba wawezao kutoa sababu.


Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.


Usiwe na hekima machoni pako; Mche BWANA, ukajiepushe na uovu.


Ole wao walio na hekima katika macho yao wenyewe, na wenye busara katika fikira zao wenyewe!


Kwa maana, ndugu zangu, sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa Mataifa uwasili.


Mpatane nia zenu ninyi kwa ninyi. Msinuie yaliyo makuu, lakini mkubali kushughulishwa na mambo manyonge. Msiwe watu wa kujivunia akili.


Walio matajiri wa ulimwengu wa sasa uwaagize wasijivune, wala wasiutumainie utajiri usio yakini, bali wamtumaini Mungu atupaye vitu vyote kwa wingi ili tuvitumie kwa furaha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo