Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 27:9 - Swahili Revised Union Version

9 Marhamu na manukato huufurahisha moyo; Kadhalika utamu wa rafiki ya mtu utokao katika kusudi la moyo wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Mafuta na manukato huufurahisha moyo, lakini taabu hurarua roho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Mafuta na manukato huufurahisha moyo, lakini taabu hurarua roho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Mafuta na manukato huufurahisha moyo, lakini taabu hurarua roho.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Manukato na uvumba huleta furaha moyoni, nao uzuri wa rafiki huchipuka katika ushauri wake wa uaminifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Manukato na uvumba huleta furaha moyoni, nao uzuri wa rafiki huchipuka kutoka kwenye ushauri wake wa uaminifu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Marhamu na manukato huufurahisha moyo; Kadhalika utamu wa rafiki ya mtu utokao katika kusudi la moyo wake.

Tazama sura Nakili




Methali 27:9
20 Marejeleo ya Msalaba  

Haya basi, nikupe shauri, tafadhali, upate kuiokoa roho yako, na roho ya mwanao Sulemani.


Na divai imfurahishe mtu moyo wake. Aung'aze uso wake kwa mafuta, Na mkate umburudishe mtu moyo wake.


Ni kama mafuta mazuri kichwani, Yashukayo ndevuni, ndevu za Haruni, Yashukayo mpaka upindo wa mavazi yake.


Mwenye haki na anipige, itakuwa fadhili; Anikemee, itakuwa kama mafuta kichwani; Kichwa changu kisikatae, Maana siachi kusali kati ya mabaya yao.


Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika.


Mtu hulifurahia jibu la kinywa chake; Na neno linenwalo wakati wa kufaa ni jema kama nini!


Aliye na hekima moyoni ataitwa mwenye busara; Utamu wa maneno huongeza elimu.


Nimetia kitanda changu manukato, Manemane na udi na mdalasini.


Manukato yako yanukia vizuri; Jina lako ni kama marhamu iliyomiminwa; Kwa hiyo wanawali hukupenda.


Ni nani huyu apandaye kutoka nyikani, Mfano wake ni nguzo za moshi; Afukizwa manemane na ubani, Na mavumbi ya manukato yote ya mchuuzi?


Jinsi pendo lako lilivyo nzuri, dada yangu, Bibi arusi, ni nzuri kupita divai; Na harufu ya marhamu yako Yapita manukato ya kila namna.


Basi Mariamu akatwaa ratili ya marhamu ya nardo safi yenye thamani nyingi, akampaka Yesu miguu, akamfuta miguu kwa nywele zake. Nayo nyumba pia ikajaa harufu ya marhamu.


Na kutoka huko ndugu, waliposikia habari zetu, wakaja kutulaki mpaka Soko la Apio na Mikahawa Mitatu. Paulo alipowaona alimshukuru Mungu, akachangamka.


Lakini huo mzeituni ukaiambia, Je! Niache mafuta yangu, ambayo kwangu mimi watu wamheshimu Mungu na wanadamu, ili niende nikayumbayumbe juu ya miti?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo