Methali 25:2 - Swahili Revised Union Version2 Ni utukufu wa Mungu kuficha jambo; Bali ni utukufu wa mfalme kuchunguza jambo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Mungu hutukuzwa kwa kuficha mambo, lakini mfalme hutukuzwa kwa yale anayoeleza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Mungu hutukuzwa kwa kuficha mambo, lakini mfalme hutukuzwa kwa yale anayoeleza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Mungu hutukuzwa kwa kuficha mambo, lakini mfalme hutukuzwa kwa yale anayoeleza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Ni utukufu wa Mungu kuficha jambo, bali ni utukufu wa wafalme kuchunguza jambo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Ni Utukufu wa Mungu kuficha jambo, bali ni utukufu wa wafalme kuchunguza jambo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Ni utukufu wa Mungu kuficha jambo; Bali ni utukufu wa mfalme kuchunguza jambo. Tazama sura |
Mfalme akasema, Je! Si mkono wa Yoabu ulio pamoja nawe katika haya yote? Mwanamke akajibu, akasema, Kama iishivyo roho yako, bwana wangu, mfalme, hapana mtu awezaye kugeuka kwa kulia, au kwa kushoto, kukana neno lolote alilolisema bwana wangu mfalme; kwani mtumishi wako Yoabu ndiye aliyeniamuru, na kuyaweka maneno haya yote kinywani mwa mjakazi wako;