Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 24:14 - Swahili Revised Union Version

14 Basi utaijua hekima kuwa tamu kwa nafsi yako; Ikiwa umekwisha kuiona; Ndipo itakapofuata thawabu; Wala tumaini lako halitabatilika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Ndivyo ilivyo hekima nafsini mwako; ukiipata utakuwa na matazamio mema, wala tumaini lako halitakuwa la bure.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Ndivyo ilivyo hekima nafsini mwako; ukiipata utakuwa na matazamio mema, wala tumaini lako halitakuwa la bure.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Ndivyo ilivyo hekima nafsini mwako; ukiipata utakuwa na matazamio mema, wala tumaini lako halitakuwa la bure.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Ujue pia kwamba hekima ni tamu kwa nafsi yako: Ukiipata, kuna matumaini kwako ya siku zijazo, nalo tumaini lako halitakatiliwa mbali.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Ujue pia kwamba hekima ni tamu kwa nafsi yako, kama ukiipata, kuna matumaini kwako ya siku zijazo, nalo tumaini lako halitakatiliwa mbali.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Basi utaijua hekima kuwa tamu kwa nafsi yako; Ikiwa umekwisha kuiona; Ndipo itakapofuata thawabu; Wala tumaini lako halitabatilika.

Tazama sura Nakili




Methali 24:14
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mausia yako ni matamu sana kwangu, Kupita asali kinywani mwangu.


Shuhuda zako nimezifanya urithi wa milele, Maana ndizo changamko la moyo wangu.


Maneno yapendezayo ni kama sega la asali; Ni tamu nafsini, na afya mifupani.


Maana hekima itaingia moyoni mwako, Na maarifa yatakupendeza nafsi yako;


maana ni vizuri kuyahifadhi ndani yako, hali yakithibitika pamoja midomoni mwako.


Maana bila shaka iko thawabu; Na tumaini lako halitabatilika.


Maneno yako yalionekana, nami nikayala; na maneno yako yalikuwa ni furaha kwangu, na shangwe ya moyo wangu; maana nimeitwa kwa jina lako, Ee BWANA, Mungu wa majeshi.


Yesu akamwambia, Ukitaka kuwa mkamilifu, nenda ukauze ulivyo navyo, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate.


Lakini aliyeitazama sheria kamilifu iliyo ya uhuru, na kukaa humo, asiwe msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi, huyo atakuwa heri katika kutenda kwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo