Methali 20:24 - Swahili Revised Union Version24 Mwenendo wa mtu watoka kwa BWANA; Basi, awezaje mtu kuelewa na njia yake? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Hatua za mtu huongozwa na Mwenyezi-Mungu; awezaje binadamu kujua njia ya kwenda? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Hatua za mtu huongozwa na Mwenyezi-Mungu; awezaje binadamu kujua njia ya kwenda? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Hatua za mtu huongozwa na Mwenyezi-Mungu; awezaje binadamu kujua njia ya kwenda? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Hatua za mtu huongozwa na Mwenyezi Mungu. Anawezaje basi mtu yeyote kuelewa njia yake mwenyewe? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Hatua za mtu huongozwa na bwana. Anawezaje basi mtu yeyote kuelewa njia yake mwenyewe? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI24 Mwenendo wa mtu watoka kwa BWANA; Basi, awezaje mtu kuelewa na njia yake? Tazama sura |
Bali umejiinua juu ya Bwana wa mbingu; nao wamevileta vyombo vya nyumba yake mbele yako; na wewe, na wakuu wako, na wake zako, na masuria wako, mmevinywea; nawe umeisifu miungu ya fedha na ya dhahabu na ya shaba, na ya chuma, na ya mti, na ya mawe; wasioona, wala kusikia, wala kujua neno lolote; na Mungu yule, ambaye pumzi yako i mkononi mwake, na njia zako zote ni zake, hukumtukuza.