Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 19:28 - Swahili Revised Union Version

28 Shahidi asiyefaa kitu hudhihaki hukumu, Na vinywa vya wasio haki humeza uovu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Shahidi asiyefaa kitu huidhihaki haki; na kinywa cha mwovu hubugia uovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Shahidi asiyefaa kitu huidhihaki haki; na kinywa cha mwovu hubugia uovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Shahidi asiyefaa kitu huidhihaki haki; na kinywa cha mwovu hubugia uovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Shahidi mla rushwa hudhihaki hukumu na kinywa cha mtu mwovu humeza ubaya kwa upesi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Shahidi mla rushwa hudhihaki hukumu na kinywa cha mtu mwovu humeza ubaya kwa upesi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Shahidi asiyefaa kitu hudhihaki hukumu, Na vinywa vya wasio haki humeza uovu.

Tazama sura Nakili




Methali 19:28
15 Marejeleo ya Msalaba  

Nayo mambo yote ya Omri yaliyosalia aliyoyatenda, na uthabiti alioufanya, je! Hayakuandikwa katika Kitabu cha Kumbukumbu za Wafalme wa Israeli?


mkawaketishe watu wawili, watu walaghai, ili wamshitaki, na kumshuhudia, kunena, Umemtukana Mungu na mfalme. Kisha mchukueni nje, mkampige kwa mawe, ili afe.


Na hao watu wawili, watu wasiofaa, wakaingia, wakaketi mbele yake; wale watu wasiofaa wakamshuhudia Nabothi mbele ya watu, wakasema, Nabothi amemtukana Mungu na mfalme. Ndipo wakamchukua nje ya mji, wakampiga kwa mawe hata akafa.


Sembuse mtu ambaye ni mwenye kuchukiza na uchafu, Mwanadamu anywaye uovu kama anywavyo maji!


Je! Ni mtu gani mfano wa Ayubu, Anywaye mzaha kama maji?


Asema moyoni mwake, Mungu amesahau, Auficha uso wake, haoni kamwe.


Njia zake ni thabiti kila wakati. Hukumu zako ziko juu asizione, Adui zake wote awakaripia.


Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa; Bali kinywa cha wapumbavu hula upumbavu.


Mtu asiyefaa kitu huchimba shimo la madhara; Katika midomo yake mna moto uteketezao.


Mwanangu, acha kusikia mafundisho, Ukitaka tu kuyaasi maneno ya maarifa.


Hujilisha dhambi ya watu wangu, hujifurahisha moyo kwa uovu wao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo