Methali 19:28 - Swahili Revised Union Version28 Shahidi asiyefaa kitu hudhihaki hukumu, Na vinywa vya wasio haki humeza uovu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Shahidi asiyefaa kitu huidhihaki haki; na kinywa cha mwovu hubugia uovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Shahidi asiyefaa kitu huidhihaki haki; na kinywa cha mwovu hubugia uovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Shahidi asiyefaa kitu huidhihaki haki; na kinywa cha mwovu hubugia uovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 Shahidi mla rushwa hudhihaki hukumu na kinywa cha mtu mwovu humeza ubaya kwa upesi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 Shahidi mla rushwa hudhihaki hukumu na kinywa cha mtu mwovu humeza ubaya kwa upesi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI28 Shahidi asiyefaa kitu hudhihaki hukumu, Na vinywa vya wasio haki humeza uovu. Tazama sura |