Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 19:22 - Swahili Revised Union Version

22 Haja ya mwanadamu ni hisani yake; Ni afadhali maskini kuliko mwongo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Kinachotakiwa kwa mtu ni uaminifu; afadhali mtu maskini kuliko mtu mwongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Kinachotakiwa kwa mtu ni uaminifu; afadhali mtu maskini kuliko mtu mwongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Kinachotakiwa kwa mtu ni uaminifu; afadhali mtu maskini kuliko mtu mwongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Lile mtu alionealo shauku ni upendo usio na mwisho, afadhali kuwa maskini kuliko kuwa mwongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Lile mtu alionealo shauku ni upendo usio na mwisho, afadhali kuwa maskini kuliko kuwa mwongo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Haja ya mwanadamu ni hisani yake; Ni afadhali maskini kuliko mwongo.

Tazama sura Nakili




Methali 19:22
14 Marejeleo ya Msalaba  

Nami ninajua, Mungu wangu, ya kuwa wewe wajaribu moyo, nawe wapendezwa na unyofu. Nami katika unyofu wa moyo wangu nimeyatoa haya yote kwa hiari yangu mwenyewe; nami sasa nimeona kwa furaha watu wako, waliopo hapa, wakikutolea kwa hiari yao.


Lakini BWANA akamwambia Daudi baba yangu, Kwa kuwa ilikuwa moyoni mwako kujenga nyumba kwa jina langu, ulifanya vema kuwaza hivi moyoni mwako;


Awafitiniye rafiki zake wawe mawindo, Hata macho ya watoto wake yataingia kiwi.


Ndugu zangu wametenda udanganyifu kama kijito cha maji. Mfano wa fumbi la vijito vipitavyo.


Hakika binadamu ni ubatili, Na wenye cheo ni uongo, Katika mizani huinuka; Wote pamoja ni hafifu kuliko ubatili.


Afadhali maskini aendaye katika uadilifu wake, Kuliko mpotovu wa midomo aliye mpumbavu.


Mna hila nyingi moyoni mwa mtu; Lakini shauri la BWANA ndilo litakalosimama.


Kumcha BWANA huelekea uhai; Atakaa ameshiba; hatajiliwa na ubaya.


Maana, kama nia ipo, hukubaliwa kwa kadiri ya alivyo navyo mtu, si kwa kadiri ya asivyo navyo.


katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo