Methali 16:4 - Swahili Revised Union Version4 BWANA amefanya kila kitu kwa kusudi lake; Naam, hata wabaya kwa siku ya ubaya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Mwenyezi-Mungu ameumba kila kitu kwa kusudi lake; hata waovu kwa ajili ya siku ya maangamizi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Mwenyezi-Mungu ameumba kila kitu kwa kusudi lake; hata waovu kwa ajili ya siku ya maangamizi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Mwenyezi-Mungu ameumba kila kitu kwa kusudi lake; hata waovu kwa ajili ya siku ya maangamizi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Mwenyezi Mungu hufanya kila kitu kwa kusudi lake mwenyewe; hata waovu kwa siku ya maangamizi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 bwana hufanya kila kitu kwa kusudi lake mwenyewe; hata waovu kwa siku ya maangamizi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 BWANA amefanya kila kitu kwa kusudi lake; Naam, hata wabaya kwa siku ya ubaya. Tazama sura |