Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 16:23 - Swahili Revised Union Version

23 Moyo wake mwenye hekima hufundisha kinywa chake; Huzidisha elimu ya midomo yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Moyo wa mwenye hekima humwezesha kusema kwa busara; huyafanya maneno yake yawe ya kuvutia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Moyo wa mwenye hekima humwezesha kusema kwa busara; huyafanya maneno yake yawe ya kuvutia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Moyo wa mwenye hekima humwezesha kusema kwa busara; huyafanya maneno yake yawe ya kuvutia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Moyo wa mtu mwenye hekima huongoza kinywa chake, na midomo yake huchochea mafundisho.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Moyo wa mtu mwenye hekima huongoza kinywa chake, na midomo yake huchochea mafundisho.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Moyo wake mwenye hekima hufundisha kinywa chake; Huzidisha elimu ya midomo yake.

Tazama sura Nakili




Methali 16:23
12 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Yapasa mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, Na kulijaza tumbo lake upepo wa mashariki?


Je! Hawatakufunza wao, na kukueleza, Na kutamka maneno yatokayo mioyoni mwao?


Moyo wangu umefurika kwa jambo jema, Mimi nasema niliyomfanyia mfalme; Ulimi wangu ni kama kalamu ya mwandishi stadi.


Moyo wa mwenye haki hufikiri jinsi atakavyojibu; Bali kinywa cha wasio haki humwaga mabaya.


Midomo ya mwenye haki hueneza maarifa; Bali moyo wa mpumbavu haufanyi hivyo.


Aliye na hekima moyoni ataitwa mwenye busara; Utamu wa maneno huongeza elimu.


Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwake aliye nao; Bali kufundishwa kwa wapumbavu ni upuzi wao.


Upate kuilinda busara, Na midomo yako iyahifadhi maarifa.


Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo