Methali 16:21 - Swahili Revised Union Version21 Aliye na hekima moyoni ataitwa mwenye busara; Utamu wa maneno huongeza elimu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Mwenye hekima moyoni huitwa mwenye akili; neno la kupendeza huwavutia watu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Mwenye hekima moyoni huitwa mwenye akili; neno la kupendeza huwavutia watu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Mwenye hekima moyoni huitwa mwenye akili; neno la kupendeza huwavutia watu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Wenye hekima moyoni huitwa wenye ufahamu, na maneno ya kupendeza huchochea mafundisho. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Wenye hekima moyoni huitwa wenye ufahamu, na maneno ya kupendeza huchochea mafundisho. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 Aliye na hekima moyoni ataitwa mwenye busara; Utamu wa maneno huongeza elimu. Tazama sura |