Methali 13:25 - Swahili Revised Union Version25 Mwenye haki hula akaishibisha nafsi yake; Bali tumbo la mtu mbaya litaona njaa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Mwadilifu anacho chakula cha kumtosheleza, lakini tumbo la waovu hutaabika kwa njaa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Mwadilifu anacho chakula cha kumtosheleza, lakini tumbo la waovu hutaabika kwa njaa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Mwadilifu anacho chakula cha kumtosheleza, lakini tumbo la waovu hutaabika kwa njaa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Mwenye haki hula hadi akaridhisha moyo wake, bali tumbo la mwovu hutaabika kwa njaa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Mwenye haki hula mpaka akaridhisha moyo wake, bali tumbo la mwovu hutaabika kwa njaa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI25 Mwenye haki hula akaishibisha nafsi yake; Bali tumbo la mtu mbaya litaona njaa. Tazama sura |