Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 1:28 - Swahili Revised Union Version

28 Ndipo watakaponiita, lakini sitaitika; Watanitafuta kwa bidii, wasinione.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Hapo ndipo mtakaponiita lakini sitaitika; mtanitafuta kwa bidii lakini hamtanipata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Hapo ndipo mtakaponiita lakini sitaitika; mtanitafuta kwa bidii lakini hamtanipata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Hapo ndipo mtakaponiita lakini sitaitika; mtanitafuta kwa bidii lakini hamtanipata.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 “Ndipo watakaponiita lakini sitawajibu; watanitafuta lakini hawatanipata.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 “Ndipo watakaponiita lakini sitawajibu; watanitafuta lakini hawatanipata.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Ndipo watakaponiita, lakini sitaitika; Watanitafuta kwa bidii, wasinione.

Tazama sura Nakili




Methali 1:28
26 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni mwili; basi siku zake zitakuwa miaka mia moja na ishirini.


Je! Mungu atakisikia kilio chake, Taabu zitakapomfikia?


Hulia huko, lakini hapana ajibuye, Kwa sababu ya kiburi cha watu waovu.


Walipiga yowe, lakini hakuna wa kuokoa, Walimwita BWANA lakini hakuwajibu,


Nikawaponda kama mavumbi mbele ya upepo, Nikawatupa nje kama matope ya njiani.


Kama ningaliwaza maovu moyoni mwangu, Bwana asingesikia.


BWANA yuko mbali na wasio haki; Bali huisikia sala ya mwenye haki.


Nawapenda wale wanipendao, Na wale wanitafutao kwa bidii wataniona.


Nilimfungulia mpendwa wangu, Lakini mpendwa wangu amegeuka amepita; (Nimezimia nafsi yangu aliponena), Nikamtafuta, nisimpate, Nikamwita, asiniitikie.


Nanyi mkunjuapo mikono yenu, nitaficha macho yangu nisiwaone; naam, mwombapo maombi mengi, sitasikia; mikono yenu imejaa damu.


Basi, BWANA asema hivi, Tazama, nitaleta mabaya juu yao, ambayo hawataweza kuyakimbia; nao watanililia, lakini sitawasikiliza.


Wafungapo, mimi sitasikia kilio chao; na watoapo sadaka za kuteketezwa na sadaka ya unga, sitazitakabali; bali nitawaangamiza kwa upanga, na kwa njaa, na kwa tauni.


Kwa sababu hiyo mimi nami nitatenda kwa ghadhabu; jicho langu halitaachilia, wala sitawaonea huruma, na wajapolia masikioni mwangu kwa sauti kuu, sitawasikiliza.


Nitakwenda zangu niparudie mahali pangu, hata watakapoungama makosa yao na kunitafuta uso wangu; katika taabu yao watanitafuta kwa bidii.


Watakwenda na makundi yao ya kondoo na ng'ombe wamtafute BWANA; lakini hawatamwona; amejitenga nao.


Nao watatangatanga toka bahari hata bahari; na toka upande wa kaskazi hata upande wa mashariki; watapiga mbio, wakienda huku na huko, kulitafuta neno la BWANA, wasilione.


Ndipo watakapomwomba BWANA, asiwaitikie; naam, atawaficha uso wake wakati huo, kwa kadiri walivyotenda mabaya kwa matendo yao.


Ikawa kama wakati nilipowaita, wasitake kunisikiliza; basi, nao wataniita, wala sitasikiliza, asema BWANA wa majeshi.


Mkarudi mkalia mbele za BWANA; BWANA asiisikize sauti yenu, wala hakuelekeza masikio yake kwenu.


Hata mwaomba, wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya, ili mvitumie kwa tamaa zenu.


Nanyi mtalia siku ile kwa sababu ya mfalme wenu mliyejichagulia; BWANA asiwajibu siku ile.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo