Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 4:14 - Swahili Revised Union Version

14 ili litimie neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 ili kutimiza neno lililonenwa na nabii Isaya, aliposema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 ili kutimiza unabii wa nabii Isaya, kama alivyosema:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 ili litimie neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema,

Tazama sura Nakili




Mathayo 4:14
15 Marejeleo ya Msalaba  

Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii akisema,


akakaa huko hadi Herode alipokufa; ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii, akisema, Kutoka Misri nilimwita mwanangu.


akaenda, akakaa katika mji ulioitwa Nazareti; ili litimie neno lililonenwa na manabii, Ataitwa Mnazareti.


Yatatimizwaje basi maandiko, ya kwamba hivyo ndivyo vilivyopasa kujiri?


Lakini haya yote yamekuwa, ili maandiko ya manabii yatimizwe. Ndipo wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.


akatoka Nazareti, akaja akakaa Kapernaumu, mji ulioko pwani, mipakani mwa Zabuloni na Naftali;


Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, Njia ya bahari, ng'ambo ya Yordani, Galilaya ya mataifa,


ili litimie lile neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema, Mwenyewe aliutwaa udhaifu wetu, Na kuyachukua magonjwa yetu.


Kwa kuwa nawaambia, hayo yaliyoandikwa hayana budi kutimizwa kwangu; ya kuwa, Alihesabiwa pamoja na wahalifu. Kwa sababu yanipasayo yanao mwisho wake.


Kisha akawaambia, Hayo ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa ningali pamoja nanyi, ya kwamba ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa katika Torati ya Musa, na katika vitabu vya Manabii na Zaburi.


Lakini litimie lile neno lililoandikwa katika torati yao, Walinichukia bure.


Baada ya hayo Yesu, hali akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizika ili andiko litimizwe, akasema, Naona kiu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo