Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 26:70 - Swahili Revised Union Version

70 Akakana mbele ya wote, akisema, Sijui usemalo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

70 Petro akakana mbele ya wote akisema, “Sijui hata unasema nini.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

70 Petro akakana mbele ya wote akisema, “Sijui hata unasema nini.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

70 Petro akakana mbele ya wote akisema, “Sijui hata unasema nini.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

70 Lakini Petro akakana mbele yao wote akisema, “Sijui hilo usemalo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

70 Lakini Petro akakana mbele yao wote akisema, “Sijui hilo usemalo.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

70 Akakana mbele ya wote, akisema, Sijui usemalo.

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:70
17 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye kujitumainia moyo wake ni mjinga; Bali yeye aendaye kwa busara ataokolewa.


Kiburi cha mtu kitamshusha; Bali mwenye roho ya unyenyekevu ataheshimiwa.


Kuwaogopa wanadamu huleta mtego; Bali amtumainiye BWANA atakuwa salama.


Tena ni nani uliyemwogopa na kumhofu, hata ukasema uongo, wala hukunikumbuka mimi, wala kuweka hayo moyoni? Je! Mimi sikunyamaza tangu zamani, hata huniogopi?


Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?


Na tazama, mmoja wa wale waliokuwa pamoja na Yesu akanyosha mkono wake, akaufuta upanga wake, akampiga mtumwa wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.


Lakini haya yote yamekuwa, ili maandiko ya manabii yatimizwe. Ndipo wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.


Na Petro akamfuata kwa mbali mpaka behewa ya Kuhani Mkuu, akaingia ndani, akaketi pamoja na watumishi, auone mwisho.


Na Petro alikuwa ameketi nje uani; kijakazi mmoja akamwendea, akasema, Wewe nawe ulikuwapo pamoja na Yesu wa Galilaya.


Naye alipotoka nje hadi ukumbini, mwanamke mwingine alimwona, akawaambia watu waliokuwako huko, Huyu alikuwapo pamoja na Yesu Mnazareti.


Akakana, akisema, Ee mwanamke, simjui.


Vema. Yalikatwa kwa kutoamini kwao, na wewe wasimama kwa imani yako. Usijivune, bali uogope.


Kwa hiyo anayejidhania kuwa amesimama na aangalie asianguke.


Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo