Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 25:38 - Swahili Revised Union Version

38 Tena ni lini tulipokuona ukiwa mgeni, tukakukaribisha, au ukiwa uchi, tukakuvika?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Ni lini tulikuona ukiwa mgeni nasi tukakukaribisha, au bila nguo nasi tukakuvika?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Ni lini tulikuona ukiwa mgeni nasi tukakukaribisha, au bila nguo nasi tukakuvika?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Ni lini tulikuona ukiwa mgeni nasi tukakukaribisha, au bila nguo nasi tukakuvika?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Lini tulikuona ukiwa mgeni tukakukaribisha, au ukiwa uchi tukakuvisha nguo?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Lini tulikuona ukiwa mgeni tukakukaribisha, au ukiwa uchi tukakuvika?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

38 Tena ni lini tulipokuona ukiwa mgeni, tukakukaribisha, au ukiwa uchi, tukakuvika?

Tazama sura Nakili




Mathayo 25:38
2 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo wenye haki watakapomjibu, wakisema, Bwana, ni lini tulipokuona ukiwa na njaa, tukakulisha, au ukiwa na kiu tukakunywesha?


Ni lini tena tulipokuona ukiwa mgonjwa, au ukiwa kifungoni, tukakujia?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo