Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 22:6 - Swahili Revised Union Version

6 nao waliosalia wakawakamata watumwa wake, wakawadhulumu na kuwaua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 na wengine wakawakamata wale watumishi wakawatukana, wakawaua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 na wengine wakawakamata wale watumishi wakawatukana, wakawaua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 na wengine wakawakamata wale watumishi wakawatukana, wakawaua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Wengine wao wakawakamata wale watumishi wake, wakawatesa na kuwaua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Wengine wao wakawakamata wale watumishi wake, wakawatesa na kuwaua.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 nao waliosalia wakawakamata watumwa wake, wakawadhulumu na kuwaua.

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:6
16 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini hawakujali, wakaenda zao, mmoja shambani kwake, mmoja kwenye biashara yake;


Basi yule mfalme akaghadhibika; akatuma majeshi yake, akawaangamiza wauaji wale, akauteketeza mji wao.


Kwa kuwa atatiwa mikononi mwa Mataifa, atafanyiwa dhihaka; atatendwa jeuri, na kutemewa mate;


Siku ile kukatokea mateso makuu kwa kanisa lililokuwa katika Yerusalemu; wote wakatawanyika katika nchi ya Yudea na Samaria, isipokuwa hao mitume.


Wakumbukeni hao waliofungwa kana kwamba mmefungwa pamoja nao; na hao wanaodhulumiwa, kwa vile ninyi nanyi mlivyo katika mwili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo