Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 22:25 - Swahili Revised Union Version

25 Basi, kwetu kulikuwa na ndugu saba; wa kwanza akaoa, akafariki, na kwa kuwa hana mzao, akamwachia nduguye mke wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Basi, hapa petu palikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa kisha akafa bila kujaliwa watoto, akamwachia ndugu yake huyo mke wake mjane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Basi, hapa petu palikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa kisha akafa bila kujaliwa watoto, akamwachia ndugu yake huyo mke wake mjane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Basi, hapa petu palikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa kisha akafa bila kujaliwa watoto, akamwachia ndugu yake huyo mke wake mjane.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Basi palikuwa na ndugu saba miongoni mwetu. Yule wa kwanza akaoa mke, naye akafa, na kwa kuwa hakuwa na watoto, akamwachia nduguye yule mjane.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Basi palikuwa na ndugu saba miongoni mwetu. Yule wa kwanza akaoa mke, naye akafa, na kwa kuwa hakuwa na watoto, akamwachia nduguye yule mjane.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Basi, kwetu kulikuwa na ndugu saba; wa kwanza akaoa, akafariki, na kwa kuwa hana mzao, akamwachia nduguye mke wake.

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:25
5 Marejeleo ya Msalaba  

wakisema, Mwalimu, Musa alisema, Mtu akifa, akiwa hana watoto, ndugu yake na amwoe yule mkewe, ili ampatie nduguye mzao.


Vivyo hivyo wa pili naye, na wa tatu, hata wote saba.


Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo