Mathayo 22:12 - Swahili Revised Union Version12 Akamwambia, Rafiki, uliingiaje humu nawe huna vazi la arusi? Naye akatekewa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Mfalme akamwuliza, ‘Rafiki, umeingiaje hapa bila vazi la harusi?’ Lakini yeye akakaa kimya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Mfalme akamwuliza, ‘Rafiki, umeingiaje hapa bila vazi la harusi?’ Lakini yeye akakaa kimya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Mfalme akamwuliza, ‘Rafiki, umeingiaje hapa bila vazi la harusi?’ Lakini yeye akakaa kimya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Mfalme akamuuliza, ‘Rafiki, uliingiaje humu bila vazi la arusi?’ Yule mtu hakuwa na la kusema. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Mfalme akamuuliza, ‘Rafiki, uliingiaje humu bila vazi la arusi?’ Yule mtu hakuwa na la kusema. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Akamwambia, Rafiki, uliingiaje humu nawe huna vazi la harusi? Naye akatekewa. Tazama sura |