Mathayo 21:37 - Swahili Revised Union Version37 Mwishowe akamtuma mwanawe kwao, akisema, Watamstahi mwanangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Mwishowe akamtuma mwanawe huku akifikiri: ‘Watamjali mwanangu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Mwishowe akamtuma mwanawe huku akifikiri: ‘Watamjali mwanangu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Mwishowe akamtuma mwanawe huku akifikiri: ‘Watamjali mwanangu.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 Mwisho wa yote, akamtuma mwanawe kwao, akisema, ‘Watamheshimu mwanangu.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 Mwisho wa yote, akamtuma mwanawe kwao, akisema, ‘Watamheshimu mwanangu.’ Tazama suraBIBLIA KISWAHILI37 Mwishowe akamtuma mwanawe kwao, akisema, Watamstahi mwanangu. Tazama sura |