Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 21:37 - Swahili Revised Union Version

37 Mwishowe akamtuma mwanawe kwao, akisema, Watamstahi mwanangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Mwishowe akamtuma mwanawe huku akifikiri: ‘Watamjali mwanangu.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Mwishowe akamtuma mwanawe huku akifikiri: ‘Watamjali mwanangu.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Mwishowe akamtuma mwanawe huku akifikiri: ‘Watamjali mwanangu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Mwisho wa yote, akamtuma mwanawe kwao, akisema, ‘Watamheshimu mwanangu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Mwisho wa yote, akamtuma mwanawe kwao, akisema, ‘Watamheshimu mwanangu.’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

37 Mwishowe akamtuma mwanawe kwao, akisema, Watamstahi mwanangu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:37
13 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Ni kazi gani iliyohitajika kutendeka ndani ya shamba langu la mizabibu nisiyoitenda? Basi, nilipotumaini ya kuwa litazaa zabibu, mbona lilizaa zabibumwitu?


Huenda nyumba ya Yuda watasikia mabaya yote niliyokusudia kuwatenda; wapate kurudi, kila mtu akaiache njia yake mbaya; nami nikawasamehe uovu wao na dhambi yao.


Nilisema, Hakika utaniogopa, utakubali kurudiwa; ili yasikatiliwe mbali makao yake, sawasawa ya yote niliyoagiza katika habari zake; lakini waliondoka mapema na kuyaharibu matendo yao yote.


Akawatuma tena watumwa wengine wengi kuliko wa kwanza wakawatenda vile vile.


Lakini wale wakulima walipomwona yule mwana, wakasemezana wao kwa wao, Huyu ni mrithi; haya na tumwue, tuutwae urithi wake.


na tazama, sauti kutoka mbinguni ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.


Basi alikuwa na mmoja bado, mwana mpendwa wake; huyu naye akamtuma kwao mwisho, akisema, Watamstahi mwanangu.


Basi, bwana wa shamba la mizabibu alisema, Nifanyeje? Nitamtuma mwanangu, mpendwa wangu; yamkini watamheshimu yeye.


Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua.


Nami nimeona, tena nimeshuhudia ya kuwa huyu ni Mwana wa Mungu.


Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo