Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 21:36 - Swahili Revised Union Version

36 Akawatuma tena watumwa wengine wengi kuliko wa kwanza wakawatenda vile vile.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Huyo mtu akawatuma tena watumishi wengine, wengi kuliko wa safari ya kwanza. Wale wakulima wakawatendea namna ileile.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Huyo mtu akawatuma tena watumishi wengine, wengi kuliko wa safari ya kwanza. Wale wakulima wakawatendea namna ileile.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Huyo mtu akawatuma tena watumishi wengine, wengi kuliko wa safari ya kwanza. Wale wakulima wakawatendea namna ileile.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Kisha akawatuma watumishi wengine kwao, wengi kuliko wale wa kwanza, nao wale wapangaji wakawatendea vilevile.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Kisha akawatuma kwao watumishi wengine, wengi kuliko wale wa kwanza, nao wale wapangaji wakawatendea vilevile.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Akawatuma tena watumwa wengine wengi kuliko wa kwanza wakawatenda vile vile.

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:36
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, Yeremia alipokuwa amekwisha kusema maneno yote BWANA aliyomwamuru kuwaambia watu wote, ndipo hao makuhani, na manabii, na watu wote, wakamkamata, wakisema, Bila shaka utakufa.


Wale wakulima wakawakamata watumwa wake, huyu wakampiga, na huyu wakamwua, na huyu wakampiga kwa mawe.


Mwishowe akamtuma mwanawe kwao, akisema, Watamstahi mwanangu.


Akatuma tena watu kwa wengine, akisema, Waambieni wale walioalikwa, Tazameni, nimeandaa karamu yangu; ng'ombe zangu na vinono vimekwisha kuchinjwa, na vyote vimekuwa tayari, njoni arusini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo