Mathayo 2:14 - Swahili Revised Union Version14 Akaondoka akamchukua mtoto na mama yake usiku, akaenda zake Misri; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Hivyo, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akaondoka usiku, akaenda Misri. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Hivyo, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akaondoka usiku, akaenda Misri. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Hivyo, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akaondoka usiku, akaenda Misri. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Kisha Yusufu akaamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake wakati wa usiku, nao wakaenda Misri, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Kisha Yusufu akaondoka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake wakati wa usiku, nao wakaenda Misri Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Akaondoka akamchukua mtoto na mama yake usiku, akaenda zake Misri; Tazama sura |