Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 2:14 - Swahili Revised Union Version

14 Akaondoka akamchukua mtoto na mama yake usiku, akaenda zake Misri;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Hivyo, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akaondoka usiku, akaenda Misri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Hivyo, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akaondoka usiku, akaenda Misri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Hivyo, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akaondoka usiku, akaenda Misri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Kisha Yusufu akaamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake wakati wa usiku, nao wakaenda Misri,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Kisha Yusufu akaondoka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake wakati wa usiku, nao wakaenda Misri

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Akaondoka akamchukua mtoto na mama yake usiku, akaenda zake Misri;

Tazama sura Nakili




Mathayo 2:14
6 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yusufu alipoamka katika usingizi, alifanya kama malaika wa Bwana alivyomwagiza; akamchukua mkewe;


Na hao walipokwisha kwenda zao, tazama, malaika wa Bwana alimtokea Yusufu katika ndoto, akasema, Ondoka, umchukue mtoto na mama yake, ukimbilie Misri, ukae huko hadi nitakapokuambia; kwa maana Herode anataka kumtafuta mtoto amwangamize.


akakaa huko hadi Herode alipokufa; ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii, akisema, Kutoka Misri nilimwita mwanangu.


Wakamwendea, wakamwamsha, wakisema, Bwana mkubwa, Bwana mkubwa, tunaangamia. Akaamka, akaukemea upepo na msukosuko wa maji, vikakoma; kukawa shwari.


Kwa sababu ya hayo Wayahudi wakanikamata nikiwa ndani ya hekalu wakajaribu kuniua.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo