Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 15:3 - Swahili Revised Union Version

3 Akajibu, akawaambia, Mbona ninyi nanyi huivunja amri ya Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Yesu akawajibu, “Kwa nini nanyi hamjali sheria ya Mungu ila mnapendelea mapokeo yenu wenyewe?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Yesu akawajibu, “Kwa nini nanyi hamjali sheria ya Mungu ila mnapendelea mapokeo yenu wenyewe?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Yesu akawajibu, “Kwa nini nanyi hamjali sheria ya Mungu ila mnapendelea mapokeo yenu wenyewe?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Isa akawajibu, “Mbona ninyi mnavunja amri ya Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Isa akawajibu, “Mbona ninyi mnavunja amri ya Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Akajibu, akawaambia, Mbona ninyi nanyi huivunja amri ya Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu?

Tazama sura Nakili




Mathayo 15:3
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mbona wanafunzi wako huyavunja mapokeo ya wazee, kwa maana hawanawi mikono walapo chakula.


Kwa kuwa Mungu alisema, Mheshimu baba yako na mama yako, na Amtukanaye baba yake au mama yake kufa na afe.


huku mkilitangua neno la Mungu kwa mapokeo yenu mliyopokezana; tena mwafanya mambo mengi yaliyo sawasawa na hayo.


Mambo hayo yanaonekana kana kwamba yana hekima, katika namna ya ibada mliyojitungia wenyewe, na katika kunyenyekea, na katika kuutawala mwili kwa ukali; lakini hayafai kitu kwa kuzizuia tamaa za mwili.


Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo.


wasisikilize hadithi za Kiyahudi, wala maagizo ya watu waukataao ukweli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo