Mathayo 15:18 - Swahili Revised Union Version18 Bali vitokavyo kinywani vyatoka moyoni; navyo ndivyo vimtiavyo mtu unajisi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Lakini mambo yatokayo kinywani hutoka moyoni, na hayo ndiyo yanayomtia mtu unajisi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Lakini mambo yatokayo kinywani hutoka moyoni, na hayo ndiyo yanayomtia mtu unajisi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Lakini mambo yatokayo kinywani hutoka moyoni, na hayo ndiyo yanayomtia mtu unajisi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Lakini kitokacho kinywani hutoka moyoni, na hiki ndicho kimtiacho mtu unajisi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Lakini kitokacho kinywani hutoka moyoni, na hiki ndicho kimtiacho mtu unajisi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Bali vitokavyo kinywani vyatoka moyoni; navyo ndivyo vimtiavyo mtu unajisi. Tazama sura |