Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 14:26 - Swahili Revised Union Version

26 Wanafunzi walipomwona akitembea juu ya bahari, wakafadhaika, wakisema, Ni mzimu; wakapiga yowe kwa hofu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Wanafunzi wake walipomwona akitembea juu ya maji waliogopa sana, wakasema, “Ni mzimu!” Wakapiga yowe kwa hofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Wanafunzi wake walipomwona akitembea juu ya maji waliogopa sana, wakasema, “Ni mzimu!” Wakapiga yowe kwa hofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Wanafunzi wake walipomwona akitembea juu ya maji waliogopa sana, wakasema, “Ni mzimu!” Wakapiga yowe kwa hofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Wanafunzi wake walipomwona akitembea juu ya maji, waliingiwa na hofu kuu, wakasema, “Ni mzimu.” Wakapiga yowe kwa kuogopa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Wanafunzi wake walipomwona akitembea juu ya maji, waliingiwa na hofu kuu, wakasema, “Ni mzimu.” Wakapiga yowe kwa kuogopa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Wanafunzi walipomwona akitembea juu ya bahari, wakafadhaika, wakisema, Ni mzimu; wakapiga yowe kwa hofu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 14:26
11 Marejeleo ya Msalaba  

wasiuone mwili wake; wakaja wakasema ya kwamba wametokewa na malaika waliosema kwamba yu hai.


Wakashituka, wakaogopa sana, wakidhani ya kwamba wanaona roho.


Ndipo akawafunua akili zao wapate kuelewa maandiko.


nao walipoingiwa na hofu na kuinama kifudifudi hadi nchini, hao waliwaambia, Kwa nini mnamtafuta aliye hai katika wafu?


Wakamwambia, Una wazimu. Lakini yeye akasisitiza, akasema ya kwamba ndivyo ilivyo. Wakanena, Ni malaika wake.


Nami nilipomwona, nilianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kulia juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo