Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 13:49 - Swahili Revised Union Version

49 Ndivyo itakavyokuwa katika mwisho wa dunia; malaika watatokea, watawatenga waovu mbali na wenye haki,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

49 Ndivyo itakavyokuwa mwishoni mwa nyakati: Malaika watatokea, watawatenganisha watu wabaya na watu wema,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

49 Ndivyo itakavyokuwa mwishoni mwa nyakati: Malaika watatokea, watawatenganisha watu wabaya na watu wema,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

49 Ndivyo itakavyokuwa mwishoni mwa nyakati: malaika watatokea, watawatenganisha watu wabaya na watu wema,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

49 Hivi ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenganisha watu waovu na watu wenye haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

49 Hivi ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenganisha watu waovu na watu wenye haki.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

49 Ndivyo itakavyokuwa katika mwisho wa dunia; malaika watatokea, watawatenga waovu mbali na wenye haki,

Tazama sura Nakili




Mathayo 13:49
9 Marejeleo ya Msalaba  

yule adui aliyeyapanda ni Ibilisi; mavuno ni mwisho wa dunia; na wale wavunao ni malaika.


Basi, kama vile magugu yakusanywavyo na kuchomwa motoni; ndivyo itakavyokuwa katika mwisho wa dunia.


hata lilipojaa, walilivuta pwani; wakaketi, wakakusanya walio wema vyomboni, bali walio wabaya wakawatupa.


Naye atawatuma malaika wake pamoja na sauti kuu ya parapanda, nao watawakusanya wateule wake toka pepo nne, toka mwisho huu wa mbingu mpaka mwisho huu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo