Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 12:24 - Swahili Revised Union Version

24 Lakini Mafarisayo waliposikia, walisema, Huyu hatoi pepo, ila kwa Beelzebuli mkuu wa pepo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Lakini Mafarisayo waliposikia hayo, wakasema, “Mtu huyu anawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Lakini Mafarisayo waliposikia hayo, wakasema, “Mtu huyu anawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Lakini Mafarisayo waliposikia hayo, wakasema, “Mtu huyu anawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Lakini Mafarisayo waliposikia jambo hili wakasema, “Mtu huyu anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo wachafu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Lakini Mafarisayo waliposikia jambo hili wakasema, “Mtu huyu anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo wachafu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Lakini Mafarisayo waliposikia, walisema, Huyu hatoi pepo, ila kwa Beelzebuli mkuu wa pepo.

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:24
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ndiyo malipo ya washitaki wangu toka kwa BWANA, Na ya hao wanaoisingizia nafsi yangu mabaya.


Yamtosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumwa kuwa kama bwana wake. Ikiwa wamemwita mwenye nyumba Beelzebuli, je! Si zaidi wale walio wa nyumbani mwake?


Na hao walipokuwa wakiondoka, tazama, walimletea mtu bubu mwenye pepo.


Lakini Mafarisayo wakasema, Kwa nguvu za mkuu wa pepo atoa pepo.


Nao waandishi walioshuka kutoka Yerusalemu wakasema, Ana Beelzebuli, na, Kwa mkuu wa pepo huwatoa pepo.


Naye alikuwa akitoa pepo bubu; ikawa pepo alipotoka, yule bubu akanena, watu wakastaajabu.


Wengine wao wakasema, Atoa pepo kwa Beelzebuli, mkuu wa pepo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo