Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 12:23 - Swahili Revised Union Version

23 Makutano wote wakashangaa, wakasema, Huyu siye mwana wa Daudi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Umati wote wa watu ulishangaa ukasema, “Je, huenda ikawa huyu ndiye Mwana wa Daudi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Umati wote wa watu ulishangaa ukasema, “Je, huenda ikawa huyu ndiye Mwana wa Daudi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Umati wote wa watu ulishangaa ukasema, “Je, huenda ikawa huyu ndiye Mwana wa Daudi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Watu wote wakashangaa na kusema, “Je, yawezekana huyu ndiye Mwana wa Daudi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Watu wote wakashangaa na kusema, “Je, yawezekana huyu ndiye Mwana wa Daudi?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Makutano wote wakashangaa, wakasema, Huyu siye mwana wa Daudi?

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:23
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, mwanamke Mkanaani wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo.


Na makutano waliotangulia, na wale waliofuata, wakapaza sauti, wakisema, Hosana, Mwana wa Daudi; ndiye mbarikiwa, yeye ajaye kwa jina la Bwana; Hosana juu mbinguni.


Ikawa, Yesu alipoyamaliza maneno hayo, makutano walishangaa mno kwa mafundisho yake;


Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, vipofu wawili wakamfuata wakipaza sauti, wakisema, Uturehemu, Mwana wa Daudi.


Na pepo alipotolewa, yule bubu alinena, makutano wakastaajabu, wakasema, Haijaonekana hivi katika Israeli wakati wowote.


Njoni, mtazame mtu aliyeniambia mambo yote niliyoyatenda. Je! Inawezekana kuwa huyu ndiye Kristo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo