Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 10:24 - Swahili Revised Union Version

24 Mwanafunzi hampiti mwalimu wake, wala mtumwa hampiti bwana wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 “Mwanafunzi hampiti mwalimu wake, wala mtumishi hampiti bwana wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 “Mwanafunzi hampiti mwalimu wake, wala mtumishi hampiti bwana wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 “Mwanafunzi hampiti mwalimu wake, wala mtumishi hampiti bwana wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 “Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake, wala mtumishi hamzidi bwana wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 “Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake, wala mtumishi hamzidi bwana wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Mwanafunzi hampiti mwalimu wake, wala mtumwa hampiti bwana wake.

Tazama sura Nakili




Mathayo 10:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Uria akamwambia Daudi, Sanduku, na Israeli, na Yuda, wanakaa vibandani; na bwana wangu Yoabu, na watumishi wa bwana wangu, wamepiga kambi waziwazi uwandani; nami niende nyumbani kwangu, kula na kunywa, na kulala na mke wangu? Uishivyo, na kama roho yako iishivyo, mimi sitafanya jambo hili.


Yamtosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumwa kuwa kama bwana wake. Ikiwa wamemwita mwenye nyumba Beelzebuli, je! Si zaidi wale walio wa nyumbani mwake?


Mwanafunzi hawi mkuu kuliko mwalimu wake, lakini kila mtu ambaye amehitimu hulingana na mwalimu wake.


Amin, amin, nawaambia ninyi, Mtumwa si mkuu kuliko bwana wake; wala mtume si mkuu kuliko yeye aliyemtuma.


Likumbukeni lile neno nililowaambia, Mtumwa si mkubwa kuliko bwana wake. Ikiwa waliniudhi mimi, watawaudhi ninyi; ikiwa walilishika neno langu watalishika na lenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo