Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 9:43 - Swahili Revised Union Version

43 Basi Petro akakaa siku kadhaa huko Yafa, nyumbani mwa mtu mmoja, jina lake Simoni, mtengenezaji wa ngozi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

43 Petro alikaa siku kadhaa huko Yopa, akiishi kwa mtu mmoja mtengenezaji wa ngozi aitwaye Simoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

43 Petro alikaa siku kadhaa huko Yopa, akiishi kwa mtu mmoja mtengenezaji wa ngozi aitwaye Simoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

43 Petro alikaa siku kadhaa huko Yopa, akiishi kwa mtu mmoja mtengenezaji wa ngozi aitwaye Simoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

43 Petro akakaa Yafa kwa siku nyingi akiishi na Simoni mtengenezaji ngozi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

43 Petro akakaa Yafa kwa siku nyingi akiishi na Simoni mtengenezaji ngozi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

43 Basi Petro akakaa siku kadhaa huko Yafa, nyumbani mwa mtu mmoja, jina lake Simoni, mtengenezaji wa ngozi.

Tazama sura Nakili




Matendo 9:43
12 Marejeleo ya Msalaba  

nasi tutakata miti katika Lebanoni, kadiri utakavyohitaji; na kukuletea tukiieleza baharini mpaka Yafa; nawe utaipeleka Yerusalemu.


Tena waliwapa waashi na maseremala fedha; wakawapa watu wa Sidoni, na watu wa Tiro, chakula, na vinywaji, na mafuta, ili walete mierezi kutoka Lebanoni mpaka Yafa kwa njia ya bahari, kwa kadiri walivyopewa ruhusa na Koreshi, mfalme wa Uajemi.


Lakini Yona akaondoka akimbilie Tarshishi, apate kujiepusha na uso wa BWANA; akateremka hadi Yafa, akaona merikebu inayokwenda Tarshishi; basi, akalipa nauli, akapanda merikebuni, aende pamoja nao Tarshishi, ajiepushe na uso wa BWANA.


Basi, tuma watu kwenda Yafa, ukamwite Simoni aitwaye Petro, anakaa katika nyumba ya Simoni, mtengenezaji wa ngozi, karibu na pwani; naye akija atasema nawe.


Sasa basi, tuma watu Yafa, ukamwite Simoni, aitwaye Petro.


Yeye ni mgeni wa mtu mmoja, jina lake Simoni, mtengenezaji wa ngozi, ambaye nyumba yake iko pwani, atakuambia yakupasayo kutenda.


na alipokwisha kuwaeleza mambo yote akawatuma kwenda Yafa.


akatueleza jinsi alivyomwona malaika aliyesimama nyumbani mwake na kumwambia, Tuma watu kwenda Yafa ukamwite Simoni aitwaye Petro,


Ikawa nilipoanza kunena, Roho Mtakatifu akawashukia kama alivyotushukia sisi mwanzo.


Na kwa kuwa mji wa Lida ulikuwa karibu na Yafa, nao wanafunzi waliosikia ya kwamba Petro yuko huko, wakatuma watu wawili kwake, kumsihi na kusema, Njoo kwetu pasipo kukawia.


Ikajulikana katika mji mzima wa Yafa; watu wengi wakamwamini Bwana.


Meyarkoni na Rakoni, pamoja na huo mpaka uliokuwa mkabala wa Yafa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo