Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 9:12 - Swahili Revised Union Version

12 naye amemwona mtu, jina lake Anania, akiingia, na kumwekea mikono juu yake, apate kuona tena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 na katika maono ameona mtu aitwaye Anania akiingia ndani na kumwekea mikono ili apate kuona tena.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 na katika maono ameona mtu aitwaye Anania akiingia ndani na kumwekea mikono ili apate kuona tena.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 na katika maono ameona mtu aitwaye Anania akiingia ndani na kumwekea mikono ili apate kuona tena.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 katika maono amemwona mtu aitwaye Anania akija na kuweka mikono juu yake ili apate kuona tena.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 katika maono amemwona mtu aitwaye Anania akija na kuweka mikono juu yake ili apate kuona tena.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 naye amemwona mtu, jina lake Anania, akiingia, na kumwekea mikono juu yake, apate kuona tena.

Tazama sura Nakili




Matendo 9:12
4 Marejeleo ya Msalaba  

akimsihi sana, akisema, Binti yangu mdogo yuko karibu kufa; nakuomba uje, uweke mkono wako juu yake, apate kupona, na kuishi.


ambao wakawaweka mbele ya mitume, na walipokwisha kuomba wakaweka mikono yao juu yao.


Basi palikuwapo Dameski mwanafunzi jina lake Anania. Bwana akamwambia katika maono, Anania. Akasema, Mimi hapa, Bwana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo