Matendo 9:10 - Swahili Revised Union Version10 Basi palikuwapo Dameski mwanafunzi jina lake Anania. Bwana akamwambia katika maono, Anania. Akasema, Mimi hapa, Bwana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Basi, huko Damasko kulikuwa na mfuasi mmoja aitwaye Anania. Bwana akamwambia katika maono, “Anania!” Anania akaitika, “Niko hapa, Bwana.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Basi, huko Damasko kulikuwa na mfuasi mmoja aitwaye Anania. Bwana akamwambia katika maono, “Anania!” Anania akaitika, “Niko hapa, Bwana.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Basi, huko Damasko kulikuwa na mfuasi mmoja aitwaye Anania. Bwana akamwambia katika maono, “Anania!” Anania akaitika, “Niko hapa, Bwana.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Huko Dameski kulikuwa na mwanafunzi mmoja jina lake Anania. Bwana Isa alimwita katika maono, “Anania!” Akajibu, “Mimi hapa Bwana.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Huko Dameski alikuwepo mwanafunzi mmoja jina lake Anania. Bwana Isa alimwita katika maono, “Anania!” Akajibu, “Mimi hapa, Bwana.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Basi palikuwapo Dameski mwanafunzi jina lake Anania. Bwana akamwambia katika maono, Anania. Akasema, Mimi hapa, Bwana. Tazama sura |