Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 7:1 - Swahili Revised Union Version

1 Kuhani Mkuu akasema, Je! Mambo hayo ndivyo yalivyo?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Basi, kuhani mkuu akamwuliza, “Je, mambo haya ni kweli?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Basi, kuhani mkuu akamwuliza, “Je, mambo haya ni kweli?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Basi, kuhani mkuu akamwuliza, “Je, mambo haya ni kweli?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Ndipo kuhani mkuu akamuuliza Stefano, “Je, mashtaka haya ni ya kweli?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Ndipo kuhani mkuu akamuuliza Stefano, “Je, mashtaka haya ni ya kweli?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Kuhani Mkuu akasema, Je! Mambo hayo ndivyo yalivyo?

Tazama sura Nakili




Matendo 7:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Watu wote walioketi katika ile baraza wakamkazia macho yao, wakamwona uso wake kuwa kama uso wa malaika.


Naye akasema, Ndugu zangu na baba zangu, sikilizeni: Mungu wa utukufu alimtokea baba yetu Abrahamu, alipokuwa katika Mesopotamia, kabla hajakaa Harani,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo