Matendo 6:15 - Swahili Revised Union Version15 Watu wote walioketi katika ile baraza wakamkazia macho yao, wakamwona uso wake kuwa kama uso wa malaika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Wote waliokuwa katika kile kikao cha Baraza walimkodolea macho Stefano, wakauona uso wake umekuwa kama wa malaika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Wote waliokuwa katika kile kikao cha Baraza walimkodolea macho Stefano, wakauona uso wake umekuwa kama wa malaika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Wote waliokuwa katika kile kikao cha Baraza walimkodolea macho Stefano, wakauona uso wake umekuwa kama wa malaika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Watu wote waliokuwa wameketi katika Baraza la Wayahudi wakamkazia macho Stefano, wakaona uso wake unang’aa kama uso wa malaika. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Watu wote waliokuwa wameketi katika baraza wakimkazia macho Stefano, wakaona uso wake unang’aa kama uso wa malaika. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Watu wote walioketi katika ile baraza wakamkazia macho yao, wakamwona uso wake kuwa kama uso wa malaika. Tazama sura |