Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 23:13 - Swahili Revised Union Version

13 Na hao walioapiana hivyo walikuwa zaidi ya watu arubaini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Watu zaidi ya arubaini ndio waliokula njama kufanya hivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Watu zaidi ya arubaini ndio waliokula njama kufanya hivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Watu zaidi ya arubaini ndio waliokula njama kufanya hivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Waliofanya mpango huo walikuwa zaidi ya watu arobaini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Waliofanya mpango huo walikuwa zaidi ya watu arobaini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Na hao walioapiana hivyo walikuwa zaidi ya watu arobaini.

Tazama sura Nakili




Matendo 23:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

Absalomu alipokuwa akitoa dhabihu alituma Ahithofeli Mgiloni, Mshauri wake Daudi, aitwe kutoka mji wake, yaani, Gilo. Njama zao zikawa na nguvu; maana watu waliokuwa pamoja na Absalomu walizidi kuongezeka.


Mtu mmoja akamwambia Daudi ya kwamba, Ahithofeli yu katika hao waliopatana na Absalomu; Daudi akasema, Ee BWANA, nakusihi, uugeuze ushauri wa Ahithofeli uwe ubatili.


Watawatenga na masinagogi; naam, saa inakuja kila mtu awauaye atakapodhania ya kuwa anamfanyia Mungu ibada.


Kulipopambazuka, Wayahudi wakafanya mapatano, wakajifunga kwa kiapo kwamba hawatakula wala hawatakunywa hadi wamwue Paulo.


Nao wakaenda kwa wakuu wa makuhani na wazee, wakasema, Tumejifunga kwa kiapo tusionje kitu hata tumwue Paulo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo