Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 21:10 - Swahili Revised Union Version

10 Basi tulipokuwa tukikaa huko siku nyingi, nabii mmoja jina lake Agabo akashuka kutoka Yudea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Baada ya kukaa huko siku kadhaa, nabii mmoja aitwaye Agabo alifika kutoka Yudea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Baada ya kukaa huko siku kadhaa, nabii mmoja aitwaye Agabo alifika kutoka Yudea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Baada ya kukaa huko siku kadhaa, nabii mmoja aitwaye Agabo alifika kutoka Yudea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Baada ya kukaa kwa siku kadhaa, nabii aliyeitwa Agabo akateremka kutoka Yudea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Baada ya kukaa kwa siku kadhaa, akateremka nabii mmoja kutoka Uyahudi, jina lake Agabo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Basi tulipokuwa tukikaa huko siku nyingi, nabii mmoja jina lake Agabo akashuka kutoka Yudea.

Tazama sura Nakili




Matendo 21:10
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu alipozaliwa katika Bethlehemu ya Uyahudi zamani za mfalme Herode, tazama, majusi wa mashariki walifika Yerusalemu, wakisema,


Na tulipokusanyika akasimama mmoja wao, jina lake Agabo, akaonesha kwa uweza wa Roho Mtakatifu kwamba njaa kubwa itakuja karibu katika dunia nzima, nayo ikatukia katika siku za Klaudio.


Kwa sababu Paulo alikusudia kusafiri pasipo kupitia Efeso merikebuni, asije akakawia katika Asia; kwa maana alikuwa na haraka, akitaka kuwahi Yerusalemu siku ya Pentekoste, kama ikiwezekana.


Tukiisha kuwaona wanafunzi tukakaa huko siku saba, nao wakamwambia Paulo kwa uweza wa Roho asipande kwenda Yerusalemu.


Tulipomaliza safari yetu kutoka Tiro tukafika Tolemai, tukawaamkua ndugu tukakaa kwao siku moja.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo