Matendo 21:10 - Swahili Revised Union Version10 Basi tulipokuwa tukikaa huko siku nyingi, nabii mmoja jina lake Agabo akashuka kutoka Yudea. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Baada ya kukaa huko siku kadhaa, nabii mmoja aitwaye Agabo alifika kutoka Yudea. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Baada ya kukaa huko siku kadhaa, nabii mmoja aitwaye Agabo alifika kutoka Yudea. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Baada ya kukaa huko siku kadhaa, nabii mmoja aitwaye Agabo alifika kutoka Yudea. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Baada ya kukaa kwa siku kadhaa, nabii aliyeitwa Agabo akateremka kutoka Yudea. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Baada ya kukaa kwa siku kadhaa, akateremka nabii mmoja kutoka Uyahudi, jina lake Agabo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Basi tulipokuwa tukikaa huko siku nyingi, nabii mmoja jina lake Agabo akashuka kutoka Yudea. Tazama sura |