Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 2:26 - Swahili Revised Union Version

26 Kwa hiyo moyo wangu ukapendezewa, ulimi wangu ukafurahi; Tena mwili wangu nao utakaa katika matumaini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Kwa hiyo, moyo wangu ulifurahi; tena nilipiga vigelegele vya furaha. Mwili wangu utakaa katika tumaini,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Kwa hiyo, moyo wangu ulifurahi; tena nilipiga vigelegele vya furaha. Mwili wangu utakaa katika tumaini,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Kwa hiyo, moyo wangu ulifurahi; tena nilipiga vigelegele vya furaha. Mwili wangu utakaa katika tumaini,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika kwa tumaini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika kwa tumaini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Kwa hiyo moyo wangu ukapendezewa, ulimi wangu ukafurahi; Tena mwili wangu nao utakaa katika matumaini.

Tazama sura Nakili




Matendo 2:26
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo moyo wangu unafurahi, Nayo nafsi yangu inashangilia, Naam, mwili wangu nao utakaa kwa kutumaini.


Umegeuza msiba wangu kuwa ngoma; Umeniondolea huzuni yangu, kunijalia furaha tele.


Nafsi yangu itakinai kama kushiba mafuta na vinono; Kinywa changu kitakusifu kwa midomo ya furaha.


Midomo yangu itafurahi sana nikuimbiapo, Na nafsi yangu uliyoikomboa.


Maana Daudi ataja habari zake, Nilimwona Bwana mbele yangu siku zote, Kwa kuwa yuko upande wa mkono wangu wa kulia, nisitikisike.


Kwa maana hutaiacha roho yangu katika kuzimu; Wala hutamtoa Mtakatifu wako aone uharibifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo