Matendo 2:25 - Swahili Revised Union Version25 Maana Daudi ataja habari zake, Nilimwona Bwana mbele yangu siku zote, Kwa kuwa yuko upande wa mkono wangu wa kulia, nisitikisike. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Maana Daudi alisema juu yake hivi: ‘Nilimwona Bwana mbele yangu daima; yuko nami upande wangu wa kulia hata sitatikisika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Maana Daudi alisema juu yake hivi: ‘Nilimwona Bwana mbele yangu daima; yuko nami upande wangu wa kulia hata sitatikisika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Maana Daudi alisema juu yake hivi: ‘Nilimwona Bwana mbele yangu daima; yuko nami upande wangu wa kulia hata sitatikisika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Kwa maana Daudi asema hivi kumhusu: “ ‘Nilimwona Bwana mbele yangu daima. Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, sitatikisika. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Kwa maana Daudi asema kumhusu yeye: “ ‘Nalimwona Bwana Mwenyezi mbele yangu daima. Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, sitatikisika. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI25 Maana Daudi ataja habari zake, Nilimwona Bwana mbele yangu siku zote, Kwa kuwa yuko upande wa mkono wangu wa kulia, nisitikisike. Tazama sura |