Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 16:4 - Swahili Revised Union Version

4 Basi walipokuwa wakipita kati ya miji ile, wakawapa zile amri zilizoamriwa na mitume na wazee walioko Yerusalemu, ili wazishike.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Walipokuwa wanapita katika ile miji waliwapa watu yale maagizo yaliyotolewa na mitume na wazee kule Yerusalemu, wakawaambia wayazingatie.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Walipokuwa wanapita katika ile miji waliwapa watu yale maagizo yaliyotolewa na mitume na wazee kule Yerusalemu, wakawaambia wayazingatie.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Walipokuwa wanapita katika ile miji waliwapa watu yale maagizo yaliyotolewa na mitume na wazee kule Yerusalemu, wakawaambia wayazingatie.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Walipokuwa wakienda mji kwa mji, wakawa wanawapa maamuzi yaliyotolewa na mitume na wazee huko Yerusalemu ili wayafuate.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Walipokuwa wakienda mji kwa mji, wakawa wanawapa maamuzi yaliyotolewa na mitume na wazee huko Yerusalemu ili wayafuate.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Basi walipokuwa wakipita kati ya miji ile, wakawapa zile amri zilizoamriwa na mitume na wazee walioko Yerusalemu, ili wazishike.

Tazama sura Nakili




Matendo 16:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wakafanya hivyo, wakawapelekea wazee kwa mikono ya Barnaba na Sauli.


Basi baada ya Paulo na Barnaba kushindana na watu hawa na kuhojiana nao sana, ndugu wakaamuru kwamba Paulo na Barnaba na wengine miongoni mwao wapande kwenda Yerusalemu kwa mitume na wazee ili kuzungumza juu ya suala hilo.


Walipofika Yerusalemu wakakaribishwa na kanisa na mitume na wazee, nao wakawaeleza mambo yote Mungu aliyoyafanya pamoja nao.


Mitume na wazee wakakusanyika wapate kulitafakari neno hilo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo